Alifunga mnyororo wa kufungia punda wake alipokuwa akija kazini lakini kutokana na kukuwa kwa M'buyu huu sehemu kubwa ya Mnyororo huu umemezwa na nyororo hiyo seheme yake ya mwsiho haioneka kwa ustadi zaidi .
Mwaka 2012 nyororo hii iliongezwa kwa mita thelathini na nne ili kuendelea kuweka historia na wakati huo mzingo wa ubuyu ulikuwa mita 13
Hiyo ni sahihi kabisa japo wengine hudhani (kimakosa kabisa!) kuwa mnyororo huo ulitumika kwa ajili ya kuwafungia watumwa!
JibuFuta